Genesis 35:7
7
Huko akajenga madhabahu na akapaita mahali pale El-Betheli,
▼
▼
El-Betheli maana yake Mungu wa Betheli.
kwa sababu mahali pale ndipo Mungu alipojifunua kwake alipokuwa akimkimbia ndugu yake.
Copyright information for
SwhKC